{"id":396681,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/396681/?format=json","text_counter":129,"type":"other","speaker_name":"","speaker_title":"","speaker":null,"content":"heshima. Kwa hivyo, sisi tunataka kuhakikisha tunaheshimu Katiba yetu kama msingi mzito. Ndugu yangu, Sen. Mositet, na wengine wengi wamekereka sana na ile sera ya kutopeleka majukumu ya kaunti kwa kaunti. Ninaunga mkono Hoja hii."}