{"id":44610,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/44610/?format=json","text_counter":259,"type":"speech","speaker_name":"Mr. Mbuvi","speaker_title":"","speaker":{"id":80,"legal_name":"Gideon Mbuvi","slug":"gideon-mbuvi"},"content":"Jambo la nidhamu, Bw. Naibu Spika wa Muda. Ninaomba Mawaziri, kabla ya kuleta taarifa kutoka kwa Wizara zao, wahakikishe kwamba Wabunge ambao wameitisha taarifa hizo wamo ndani ya Bunge. Ninasema hivi kwa sababu---"}