{"id":456976,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/456976/?format=json","text_counter":148,"type":"speech","speaker_name":"Hon. Gichigi","speaker_title":"","speaker":{"id":1909,"legal_name":"Samuel Kamunye Gichigi","slug":"samuel-kamunye-gichigi"},"content":"Ninasimama kunga mkono Hoja ambayo imeletwa Bungeni siku ya leo. Kwa miaka 50 ambayo tumekuwa huru, hatujakuwa na sheria na utaratibu wa kuwachagua mashujaa wetu ambao tunatunukia tuzo za ushujaa katika nchi hii."}