{"id":465949,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/465949/?format=json","text_counter":496,"type":"speech","speaker_name":"Hon. Mwaura","speaker_title":"","speaker":{"id":13129,"legal_name":"Isaac Maigua Mwaura","slug":"isaac-mwaura"},"content":"kwa kiwango kikubwa. Kwa hivyo, litakuwa jambo la busara kuongeza bei ya maziwa yanayonunuliwa moja kwa moja kutoka kwa wakulima, ama maziwa yanayochukuliwa kutoka kwenye vyama vya maziwa ama kwenye barabara."}