{"id":503880,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/503880/?format=json","text_counter":275,"type":"speech","speaker_name":"Hon. Kombe","speaker_title":"","speaker":{"id":250,"legal_name":"Harrison Garama Kombe","slug":"harrison-kombe"},"content":"matangazo hayo. Alikuwa mcheshi, mpenda watu, mtu wa watu, na hakika wengi watamkosa. Wafuasi wa ODM katika eneo bunge langu watamkosa marehemu Mhe. Seneta Otieno Kajwang’. Naomba Mwenyezi Mungu akalijalie kaburi lake kuwa bustani katika mabustani, Amina."}