{"id":535024,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/535024/?format=json","text_counter":200,"type":"speech","speaker_name":"Hon. (Ms.) Wanyama","speaker_title":"","speaker":{"id":1076,"legal_name":"Janet Nangabo Wanyama","slug":"janet-nangabo-wanyama"},"content":"Tatu, ningependa kumshukuru Rais kwa sababu aliongea kuhusu matibabu na kuwa na kadi za NHIF, ndiposa jamii zinazotoka katika maisha ya umaskini wapate matibabu katika hospitali zinazostahili."}