{"id":567333,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/567333/?format=json","text_counter":358,"type":"speech","speaker_name":"Hon. Mwadeghu","speaker_title":"","speaker":{"id":98,"legal_name":"Thomas Ludindi Mwadeghu","slug":"thomas-mwadeghu"},"content":"Mhe. Spika, nimeyaelewa mambo ambayo ndugu yangu amesema. Mhe. Chepkong’a ni mtu ambaye ninamheshimu sana, lakini hapa hatuzungumzi kuhusu ng’ombe wa Wakalenjin; tunazungumza kuhusu ng’ombe wa Njuri Ncheke kule Meru."}