{"id":61968,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/61968/?format=json","text_counter":157,"type":"speech","speaker_name":"Mr. Deputy Speaker","speaker_title":"","speaker":null,"content":"Bi. Leshomo, Serikali inaomba ipewe muda zaidi. Unaonaje kama Swali hili litawekwa katika Orodha ya Maswali Jumanne wiki ijayo?"}