{"id":679709,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/679709/?format=json","text_counter":366,"type":"speech","speaker_name":"Hon. (Ms.) Gathecha","speaker_title":"","speaker":{"id":652,"legal_name":"Annah Nyokabi Gathecha","slug":"annah-nyokabi-gathecha"},"content":"Asante, Naibu Mwenyekiti wa Muda. Nasimama kuunga mkono hilo jambo kwa sababu ni la kulainisha mambo ambayo yako katika Katiba na sheria ya misitu ndio watu wasichanganyikiwe na vile mambo yanaendelea. Asante."}