{"id":834131,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/834131/?format=json","text_counter":201,"type":"speech","speaker_name":"Likoni, ODM","speaker_title":"Hon. (Ms.) Mishi Mboko","speaker":{"id":874,"legal_name":"Mishi Juma Khamisi","slug":"mishi-juma-khamisi"},"content":" Ahsante sana, Mhe. Naibu Spika wa Muda. Nami pia nasimama kumuunga mkono kakangu, Mhe. Jomo Washiali, kwa kutuletea Hoja hii. Ni kama amejua mwambao wa Pwani na mambo ambayo yanajiri wakati huu hata katika"}