{"id":838492,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/838492/?format=json","text_counter":159,"type":"speech","speaker_name":"Mwatate, ODM","speaker_title":"Hon. Andrew Mwadime","speaker":{"id":2451,"legal_name":"Andrew Mwadime","slug":"andrew-mwadime"},"content":"wananchi. Lakini, ukweli wa mambo ni kwamba hii siku ya kupiga kura mwezi wa nane kama ilivyo ni tatizo kwa wananchi wa Kenya. Zingependelea kuongea mengi. Wenzangu wameongea nisiyopenda kurejelea, nashukuru kwa hii fursa. Asante sana."}