{"id":873846,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/873846/?format=json","text_counter":129,"type":"speech","speaker_name":"Nyali, Independent","speaker_title":"Hon. Mohamed Ali","speaker":{"id":13455,"legal_name":"Mohammed Ali Mohamed","slug":"mohamed-ali-mohamed"},"content":"wa figo ni 16. Hatuna maabara. Ikiwa leo mtu ni mgonjwa na hakuna maabara ya figo, inakuwa matatizo. Huyo mtu anafariki kwa sababu Serikali imeshindwa kusaidia wananchi wa Jamhuri ya Kenya kwa kuekeza katika afya."}