{"id":882224,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/882224/?format=json","text_counter":184,"type":"speech","speaker_name":"Sen. Madzayo","speaker_title":"","speaker":{"id":679,"legal_name":"Stewart Mwachiru Shadrack Madzayo","slug":"stewart-mwachiru-shadrack-madzayo"},"content":"Kwanza, natoa rambirambi kwa familia za watu wote ambao waliathiriwa na ajali hiyo ya ndege. Kuna Wakenya na watu wengine kutoka mataifa mbalimbali ambao walipoteza wapendwa wao katika ajali hiyo ya ndege."}