{"id":895133,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/895133/?format=json","text_counter":340,"type":"speech","speaker_name":"Sen. Faki","speaker_title":"","speaker":{"id":13211,"legal_name":"Mohamed Faki Mwinyihaji","slug":"mohamed-faki-mwinyihaji-2"},"content":"zinafanya kazi. Hata hivyo, hakujakuwa na jambo lolote ambalo limefanyika ili tuweze kusema kwamba vita dhidi ya ufisadi imeanza kuzaa matunda. Imekuwa ni ahadi juu ya ahadi kila mwaka kwamba tunapigana na ufisadi."}