{"id":895152,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/895152/?format=json","text_counter":359,"type":"speech","speaker_name":"Sen. Faki","speaker_title":"","speaker":{"id":13211,"legal_name":"Mohamed Faki Mwinyihaji","slug":"mohamed-faki-mwinyihaji-2"},"content":"Bw. Spika wa Muda, ninaunga mkono Hotuba ya Rais. Nakushukuru kwa kunipa fursa ya kuchangia Hoja hii."}