{"id":924690,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/924690/?format=json","text_counter":567,"type":"speech","speaker_name":"Sen. Faki","speaker_title":"","speaker":{"id":13211,"legal_name":"Mohamed Faki Mwinyihaji","slug":"mohamed-faki-mwinyihaji-2"},"content":"Bi. Spika wa Muda, matatizo haya yaliyoko katika kaunti hizi pia yako katika Serikali Kuu. Lakini kwa vile Ripoti inazungumzia serikali za kaunti tu, inamaanisha kwamba hatutapata fursa ya kuyaangazia yale maovu ambayo yako katika Serikali Kuu."}