{"id":924693,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/924693/?format=json","text_counter":570,"type":"speech","speaker_name":"Sen. Faki","speaker_title":"","speaker":{"id":13211,"legal_name":"Mohamed Faki Mwinyihaji","slug":"mohamed-faki-mwinyihaji-2"},"content":"Asante, Bi. Spika wa Muda. Mkaguzi Mkuu amefanya kazi kubwa kuhakikisha kwamba anaangazia yale madhambi ambayo yanatendeka katika kaunti hizi. The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor, Senate."}