{"id":925437,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/925437/?format=json","text_counter":86,"type":"speech","speaker_name":"Sen. Boy","speaker_title":"","speaker":{"id":13200,"legal_name":"Issa Juma Boy","slug":"issa-juma-boy"},"content":". Hili jambo lita leta athari kubwa sana katika maisha yetu. Kwa hivyo, namuunga mkono Sen. Seneta kwa kuleta taarifa hii hapa. Hii Kamati ya Afya ishughulikie jambo hili. Si kwamba wasemetu; waende wenyewe wazunguke katika hizi"}