{"id":926325,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/926325/?format=json","text_counter":22,"type":"speech","speaker_name":"Mwatate, ODM","speaker_title":"Hon. Andrew Mwadime","speaker":{"id":2451,"legal_name":"Andrew Mwadime","slug":"andrew-mwadime"},"content":" Mheshimiwa Spika, asante kwa mwongozo wako. Lakini nilifikiria kwamba nikiongea, nafanya hivyo ili tumalize hili suala kwa kikamilifu."}