{"id":949738,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/949738/?format=json","text_counter":333,"type":"speech","speaker_name":"Nyali, Independent","speaker_title":"Hon. Mohamed Ali","speaker":{"id":13455,"legal_name":"Mohammed Ali Mohamed","slug":"mohamed-ali-mohamed"},"content":"Hii ni aibu na ni sharti sheria ichukue mkondo wake na kuhakikisha kwamba wahusika wote ambao wamekaa kimya wakiangalia marehemu Mariam Kighenda na mtoto Amanda Mutheu wakiangamia na kufa kifo cha polepole, ni sharti wachukuliwe hatua za kisheria."}