{"id":964655,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/964655/?format=json","text_counter":453,"type":"speech","speaker_name":"Tana River CWR, MCCP","speaker_title":"Hon. (Ms.) Rehema Hassan","speaker":{"id":13275,"legal_name":"Rehema Hassan","slug":"rehema-hassan"},"content":"Kwa hivyo, ninaomba Serikali iwasaidie wale walioadhirika na mafuriko na malazi, chakula na hata madawa. Wakati wa mafuriko, magonjwa mengi yanatokea. Mimi pia, ningeomba suluhu ya kuduma ipatikane hasa kwa hili janga la mafuriko la Tana Delta. Wakati"}