{"id":991730,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/991730/?format=json","text_counter":35,"type":"speech","speaker_name":"Sen. Madzayo","speaker_title":"","speaker":{"id":679,"legal_name":"Stewart Mwachiru Shadrack Madzayo","slug":"stewart-mwachiru-shadrack-madzayo"},"content":"utaona kwamba mishahara ya Chief Officers iko juu kuliko mishahara ya madaktari. Mishahara inafaa kulingana na kiwango cha masomo na uzoefu wa mtu ili ratiba kama hiyo iweze kufuata katika kaunti zote 47. Asante Bw. Naibu wa Spika."}