HTTP 200 OK
Allow: GET, POST, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"count": 1608389,
"next": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/?format=api&page=153888",
"previous": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/?format=api&page=153886",
"results": [
{
"id": 1557062,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1557062/?format=api",
"text_counter": 491,
"type": "speech",
"speaker_name": "Kilifi County, ODM",
"speaker_title": "Hon. Gertrude Mwanyanje",
"speaker": null,
"content": " Asante, Mhe. Spika wa Muda. Nachukua fursa hii nikushukuru kwa kunipa nafasi hii. Pia, nashukuru Kamati ambayo imeongoza kukaguliwa kwa hawa wawili chini ya uongozi wa Mwenyekiti, Mhe. Alice Ng’ang’a. Namshukuru zaidi kwa sababu ya kuweza kunakili kwa utaratibu na uzoefu, na kueleza vizuri kuhusu hawa wateule wawili. Kutoka Kilifi, nataka kuzungumzia kuhusu kijana Fikirini Jacobs Katoi Kahindi, anayetoka kule Ganze, ambapo ni reserve ya Kilifi kabisa. Ukitajiwa Ganze ndani ya Kenya hii, unafikiri ni mahali hakuna maji wala chakula. Wakipata chakula, huwa tunakiita ni cha msolo. Chakula cha msaada kinapelekwa kule. Hapa tumepata kijana Fikirini Jacobs, ambaye amesoma kwa bidii na michango. Anaongoza vijana na ana sauti kubwa ndani ya Kilifi. Kwa uweledi wa kupenda masomo, kijana huyu amehitimu kutoka Chuo Kikuu cha Pwani, ambao ni mwelekeo mzuri. Vijana wengi hutaka waje Nairobi wapate shahada zao. Lakini huyu alianza huko bara, na mwisho amepata shahada katika Chuo Kikuu cha Pwani. Nawapongeza wahadhiri wote wa Chuo Kikuu cha Pwani kwa kumshikilia huyu kijana mkakamavu."
},
{
"id": 1557063,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1557063/?format=api",
"text_counter": 492,
"type": "speech",
"speaker_name": "Hon. Martha Wangari",
"speaker_title": "The Temporary Speaker",
"speaker": null,
"content": " Member for Kilifi County, please take your seat for a minute. Your time is still there. I will hold it. We will interrupt you because of our Standing Orders and give Hon. Waqo one minute to move a Procedural Motion."
},
{
"id": 1557064,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1557064/?format=api",
"text_counter": 493,
"type": "heading",
"speaker_name": "",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "PROCEDURAL MOTION"
},
{
"id": 1557065,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1557065/?format=api",
"text_counter": 494,
"type": "heading",
"speaker_name": "",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "EXTENSION OF HOUSE SITTING"
},
{
"id": 1557066,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1557066/?format=api",
"text_counter": 495,
"type": "speech",
"speaker_name": "Marsabit County, UDA",
"speaker_title": "Hon. Naomi Waqo",
"speaker": null,
"content": " Hon. Temporary Speaker, I beg to move the following Procedural Motion: THAT, pursuant to the provisions of Standing Order 30(3)(a), this House orders that should the time appointed for adjournment of the House be reached before conclusion of The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor."
},
{
"id": 1557067,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1557067/?format=api",
"text_counter": 496,
"type": "speech",
"speaker_name": "Marsabit County, UDA",
"speaker_title": "Hon. Naomi Waqo",
"speaker": null,
"content": "business appearing as Order 15 in today’s Order Paper, the sitting of the House shall stand extended until the conclusion of the said business. Thank you, Hon. Temporary Speaker."
},
{
"id": 1557068,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1557068/?format=api",
"text_counter": 497,
"type": "speech",
"speaker_name": "Hon. Martha Wangari",
"speaker_title": "The Temporary Speaker",
"speaker": null,
"content": " Who is the seconder?"
},
{
"id": 1557069,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1557069/?format=api",
"text_counter": 498,
"type": "speech",
"speaker_name": "Marsabit County, UDA",
"speaker_title": "Hon. Naomi Waqo",
"speaker": null,
"content": " I request Hon. Mutuse to second."
},
{
"id": 1557070,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1557070/?format=api",
"text_counter": 499,
"type": "speech",
"speaker_name": "Hon. Martha Wangari",
"speaker_title": "The Temporary Speaker",
"speaker": null,
"content": " Hon. Mutuse, proceed."
},
{
"id": 1557071,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1557071/?format=api",
"text_counter": 500,
"type": "speech",
"speaker_name": "Kibwezi West, MCCP",
"speaker_title": "Hon. Mwengi Mutuse",
"speaker": null,
"content": " Hon. Temporary Speaker, I rise to second the Motion as moved by Hon. Naomi Waqo. As you notice in the Order Paper, there are very important issues that this House needs to consider this evening. Therefore, we are justified in extending the sitting time. Therefore, I second the Motion."
}
]
}