{"count":1608389,"next":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/?format=json&page=144557","previous":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/?format=json&page=144555","results":[{"id":1463752,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1463752/?format=json","text_counter":87,"type":"speech","speaker_name":"Hon. Speaker","speaker_title":"","speaker":null,"content":"Hon. Liza Chelule."},{"id":1463753,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1463753/?format=json","text_counter":88,"type":"speech","speaker_name":"Nakuru County, UDA","speaker_title":"Hon. Liza Chelule","speaker":null,"content":" Asante sana, Mhe. Spika kwa kunipatia hii nafasi nami nichangie Ombi ambalo limeletwa Bungeni na daktari mmoja katika nchi yetu ya Kenya kuhusu mauaji ya watu au mtu binafsi kuchukua nafasi..."},{"id":1463754,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1463754/?format=json","text_counter":89,"type":"speech","speaker_name":"Hon. Speaker","speaker_title":"","speaker":null,"content":"Hapana. Hiyo sio Kiswahili sanifu. Ni kujitia kitanzi au kujaribu kujitia kitanzi."},{"id":1463755,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1463755/?format=json","text_counter":90,"type":"speech","speaker_name":"Nakuru County, UDA","speaker_title":"Hon. Liza Chelule","speaker":null,"content":" Ninazungumza kuhusu mtu anayejaribu kujitoa uhai ama anayetaka kujitia kitanzi. Kabla mtu hajaamua kujiua ama kujitia kitanzi, kuna sababu ambazo huenda zimemfikisha afanye maamuzi hayo. Huenda ikawa ni ugonjwa au shida ya kiakili. Tunafaa kutofautisha hayo mambo mawili. Katika Bibilia, Mwenyezi Mungu anasema hatufai kujiua ama kuwaua wenzetu. Mtu hastahili kujitia kitanzi, kujitoa uhai, ama kuua mtu mwingine. Kuna mambo mawili hapa: kujitoa uhai au kujitia kitanzi ama kumuua mwingine. Mtu aliye na ugonjwa wa kiakili anafaa kupelekwa hospitalini ilia apate tiba. Kwa hivyo, tukisema yule mtu anajaribu kujitoa uhai, kujitia kitanzi ama kumtoa uhai mwingine, anafaa kupelekwa hospitalini. Lakini kuna wengine ambao kutokana na hasira au chuki, wanaweza kuwatoa uhai wenzao. The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor."},{"id":1463756,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1463756/?format=json","text_counter":91,"type":"speech","speaker_name":"Nakuru County, UDA","speaker_title":"Hon. Liza Chelule","speaker":null,"content":"Bw. Spika, ninapinga hili Ombi na lazima uchunguzi ufanywe maana kuna mambo tofauti yanayochangia shida hiyo. Ahsante, Mhe. Spika."},{"id":1463757,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1463757/?format=json","text_counter":92,"type":"speech","speaker_name":"Hon. Speaker","speaker_title":"","speaker":null,"content":"Hon. Okello."},{"id":1463758,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1463758/?format=json","text_counter":93,"type":"speech","speaker_name":"Nyando, ODM","speaker_title":"Hon Jared Okello","speaker":null,"content":" Thank you very much, Hon. Speaker. Many factors could precipitate suicide. The owner/drafter of this Petition has only taken one angle – mental incapacitation. Therefore, life being so sacrosanct, this House cannot administer an easier process that leads to extermination of life. I believe that before judges and magistrates make a final determination as to the guilt or otherwise of an accused person, they usually recommend for mental examination."},{"id":1463759,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1463759/?format=json","text_counter":94,"type":"speech","speaker_name":"Hon. Speaker","speaker_title":"","speaker":null,"content":"Only in homicide cases."},{"id":1463760,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1463760/?format=json","text_counter":95,"type":"speech","speaker_name":"Nyando, ODM","speaker_title":"Hon. Jared Okello","speaker":null,"content":" Only in homicide cases. Therefore, if this House would make changes to that effect, then that medical examination should also include cases of suicide. But, we are not going to allow Kenyans to take away their lives at will because basically that is what this Petition is intended to achieve. Thank you, Hon. Speaker."},{"id":1463761,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1463761/?format=json","text_counter":96,"type":"speech","speaker_name":"Hon. Speaker","speaker_title":"","speaker":null,"content":"Yes. Hon. Member for Wajir West."}]}