{"count":1608389,"next":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/?format=json&page=154624","previous":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/?format=json&page=154622","results":[{"id":1564422,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1564422/?format=json","text_counter":249,"type":"speech","speaker_name":"Sen. Kinyua","speaker_title":"","speaker":{"id":13202,"legal_name":"John Kinyua Nderitu","slug":"john-kinyua-nderitu-2"},"content":"Bw. Spika, ni kama tuna idara tofauti za Serikali. Kuna idara ambayo inasema ya kwamba ndiyo, kuna wale ambao wanapaswa kuwa mashinani na kuna wale ambao wako katika ile sehemu ambayo imetengwa maalum ya hawa wawakilishi wadi kukutana na kufanya vikao vyao. Idara za Serikali zinapaswa kuwa zinawasiliana, si kupeana mambo kiholela. Kwangu inakaa ni kama ni miujiza kama si maajabu."},{"id":1564423,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1564423/?format=json","text_counter":250,"type":"scene","speaker_name":"","speaker_title":"","speaker":null,"content":"[The Speaker (Hon. Kingi) left the Chair]"},{"id":1564424,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1564424/?format=json","text_counter":251,"type":"scene","speaker_name":"","speaker_title":"","speaker":null,"content":"[The Temporary Speaker (Sen. Abdul Haji) in the Chair]"},{"id":1564425,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1564425/?format=json","text_counter":252,"type":"speech","speaker_name":"Sen. Kinyua","speaker_title":"","speaker":{"id":13202,"legal_name":"John Kinyua Nderitu","slug":"john-kinyua-nderitu-2"},"content":"Bw. Spika wa Muda, nimemsikiza Seneta kutoka Nyamira akielezea yale mambo ambayo yanatendeka huko. Unapata ya kwamba kama ni hela, zinatoka na zinapeanwa kwa gatuzi hizi mbili. Ikiwa pesa zinatumika na kaunti hiyo kwa njia ambayo haifai, basi wanapaswa kurejesha."},{"id":1564426,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1564426/?format=json","text_counter":253,"type":"speech","speaker_name":"Sen. Kinyua","speaker_title":"","speaker":{"id":13202,"legal_name":"John Kinyua Nderitu","slug":"john-kinyua-nderitu-2"},"content":"The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Director, Hansard and AudioServices, Senate"},{"id":1564427,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1564427/?format=json","text_counter":254,"type":"speech","speaker_name":"Sen. Kinyua","speaker_title":"","speaker":{"id":13202,"legal_name":"John Kinyua Nderitu","slug":"john-kinyua-nderitu-2"},"content":"Bw. Spika wa Muda, nashindwa ni kwa nini tunaandika kwa mate ilhali kuna wino. Tusiwe tunatoa mapendekezo ya kupoteza muda. Wakati mwingi tunatoa mapendekezo ambayo hayafuatiliwi. Kamati husika imekuwa ikishughulikia jambo hilo kwa zaidi ya siku 45 lakini watu hawajapata majibu. Isiwe sisi kama Seneti tunatoa mapendekezo ambayo hayatiliwi maanani."},{"id":1564428,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1564428/?format=json","text_counter":255,"type":"speech","speaker_name":"Sen. Mumma","speaker_title":"","speaker":null,"content":"On a point of information, Mr. Temporary Speaker, Sir."},{"id":1564429,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1564429/?format=json","text_counter":256,"type":"speech","speaker_name":"Sen. Abdul Haji","speaker_title":"The Temporary Speaker","speaker":null,"content":" Sen. Kinyua, je, ungependa kujulishwa na Sen. Mumma?"},{"id":1564430,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1564430/?format=json","text_counter":257,"type":"speech","speaker_name":"Sen. Kinyua","speaker_title":"","speaker":{"id":13202,"legal_name":"John Kinyua Nderitu","slug":"john-kinyua-nderitu-2"},"content":"Kiingereza hunichanga. Nitafurahi akinijuza kwa Kiswahili."},{"id":1564431,"url":"http://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1564431/?format=json","text_counter":258,"type":"speech","speaker_name":"Sen. Abdul Haji","speaker_title":"The Temporary Speaker","speaker":null,"content":" Sen. Mumma, tafadhali mjulishe kwa Kiswahili."}]}