Marwa Kemero Maisori Kitayama

Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 1 to 10 of 30.

  • 30 Mar 2022 in National Assembly: Thank you, Hon. Temporary Deputy Speaker. Let me take this opportunity to congratulate my friend, Benjamin Washiali, for this very timely Bill. The insurance industry employs very many people. Many young people who are in the universities and other colleges engage in this industry when they get an opportunity, even in their spare time. It has given many people an opportunity even to know what they want to be in future. As a matter of principle, even if it did not do anything else, just the fact of having predictability in a sector that is serving a lot of people ... view
  • 22 Sep 2021 in National Assembly: Asante sana, Mhe. Naibu Spika wa Muda. Naomba nianze kwa kumshukuru mwenzangu, Mhe. (Dkt.) Pukose, kwa Mswada huu. Ninaunga mkono ila kwa marekebisho. Ni vizuri kwamba Mswada huu umeonyesha, kuanzia mwanzo, kwamba unataka kuboresha maisha ya Wakenya kwa upande wa madawa, lishe na afya zetu. Nimefurahishwa sana na Mswada huu kwa sababu unalenga kuhakikisha kuwa madawa ambayo tunapata kama wananchi wa Kenya ni kulingana na maagizo ya daktari ili ukinunua dawa ni nzuri kwa afya yako. Hiyo ndiyo sababu ninasema kuwa tunahitaji kuwa na marekebisho tusije tukawa na Mswada ambao badala ya kurahisisha kufikia huduma ya afya, unapinga mtu ambaye ... view
  • 22 Sep 2021 in National Assembly: Asante sana, Mhe. Naibu Spika wa Muda. Naomba nianze kwa kumshukuru mwenzangu, Mhe. (Dkt.) Pukose, kwa Mswada huu. Ninaunga mkono ila kwa marekebisho. Ni vizuri kwamba Mswada huu umeonyesha, kuanzia mwanzo, kwamba unataka kuboresha maisha ya Wakenya kwa upande wa madawa, lishe na afya zetu. Nimefurahishwa sana na Mswada huu kwa sababu unalenga kuhakikisha kuwa madawa ambayo tunapata kama wananchi wa Kenya ni kulingana na maagizo ya daktari ili ukinunua dawa ni nzuri kwa afya yako. Hiyo ndiyo sababu ninasema kuwa tunahitaji kuwa na marekebisho tusije tukawa na Mswada ambao badala ya kurahisisha kufikia huduma ya afya, unapinga mtu ambaye ... view
  • 22 Sep 2021 in National Assembly: unaendeleza maisha yetu na afya zetu, lakini pia vipengele vyake visije vikawa kwamba vinazuia tusifikie tiba kwa yule mtu ambaye hana uwezo ama madaktari hawako kwa karibu kuweza kupata kile tunaita prescription. Pili, Mhe. Naibu Spika wa Muda, ni vizuri tukubali kwamba chakula na dawa vinaingiliana. Mswada huu unalenga kwamba tuweze kudhibiti mambo haya kwa pamoja. Ni kweli. Lakini, unaweza ukaona kwamba tendo la kula chakula kizuri lenyewe ni tiba. Vile vile, kupata dawa nzuri yenyewe ni tiba. Ndio maana nasema ni vizuri tusitofautishe mambo haya. Yanaelekea vizuri. Yanapendeza, ndio. Lakini, ingependeza zaidi kama tungeangalia mambo ya dawa yaende katika ... view
  • 22 Sep 2021 in National Assembly: unaendeleza maisha yetu na afya zetu, lakini pia vipengele vyake visije vikawa kwamba vinazuia tusifikie tiba kwa yule mtu ambaye hana uwezo ama madaktari hawako kwa karibu kuweza kupata kile tunaita prescription. Pili, Mhe. Naibu Spika wa Muda, ni vizuri tukubali kwamba chakula na dawa vinaingiliana. Mswada huu unalenga kwamba tuweze kudhibiti mambo haya kwa pamoja. Ni kweli. Lakini, unaweza ukaona kwamba tendo la kula chakula kizuri lenyewe ni tiba. Vile vile, kupata dawa nzuri yenyewe ni tiba. Ndio maana nasema ni vizuri tusitofautishe mambo haya. Yanaelekea vizuri. Yanapendeza, ndio. Lakini, ingependeza zaidi kama tungeangalia mambo ya dawa yaende katika ... view
  • 18 Aug 2021 in National Assembly: Thank you, Hon. Deputy Speaker. I rise to ask Question No.300 of 2021 directed to the Ministry of Sports, Culture and Heritage: (i) Could the Cabinet Secretary state measures put in place to ensure that all indigenous languages spoken by the over 79 minority indigenous communities spread over the 47 counties in Kenya are protected from extinction? (ii) Could the Cabinet Secretary also explain the criteria used to determine that only 19 majority community languages in 30 counties would have their local languages preserved from extinction and taught in schools, leaving out other marginalised minority indigenous communities whose languages are ... view
  • 21 Nov 2019 in National Assembly: Thank you, Hon. Speaker. Pursuant to Standing Order No. 44(2)(c), I wish to request for a statement from the Chairperson of the Departmental Committee on Transport, Public Works and Housing on rehabilitation of roads that are of security importance to this country. The Ministry maintains and rehabilitates certain roads that are said to be of security importance in the country; noting their role in enhancing security and ensuring that critical Government services are provided such as immigration, revenue collection as well as managing international boundaries. Those roads include but not limited to Kababu C13 junction in Migori, Suna West Constituency ... view
  • 21 Nov 2019 in National Assembly: (b) Within which specific timelines is the Ministry going to undertake rehabilitation of the said security road? c) What is the status of rehabilitation and budgetary allocations of all other roads that are regarded as security roads in this country? Thank you. view
  • 7 Nov 2019 in National Assembly: Thank you, Hon. Speaker. I rise to ask Question No.481/2019 to the Cabinet Secretary for National Treasury and Planning. (i) When and how is the Ministry disbursing Kshs.3 billion allocated to coffee farmers for coffee cherries yet there is no existing fund to administer the said funds? (ii) Could the Cabinet Secretary explain why the funds are not being channeled through the Commodities Fund under the Ministry of Agriculture and Livestock for the benefit of the farmers as envisaged in its formulation? Thank you, Hon. Speaker. view
  • 25 Sep 2019 in National Assembly: Thank you, Hon. Temporary Deputy Speaker. I would like to support this timely Motion that has been brought by Mheshimiwa . I want to delve into this matter which will generally affect and change how Kenyan youth manage their future. It is important to note that in places like Kuria, our first college is a teachers’ training institute which opened its doors on 2nd September. I want to report to the country that, as of today, the enrolment is 96 students after only two weeks. This shows there was a gap that needed to be filled at a point when ... view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus