Abdulswamad Sheriff Nassir

Parties & Coalitions

Post

PO BOX 16735, Mombasa, Kenya

Email

asnassir@radiorahma.co.ke

Link

Facebook

Telephone

0722333109

Telephone

0737333109

Link

@Asnassir on Twitter

All parliamentary appearances

Entries 1 to 10 of 1018.

  • 9 Jun 2022 in National Assembly: Asante sana, Mhe. Spika. Kwanza, ningependa kuwashukuru watu wa Mvita na Mombasa kwa jumla. Wanamvita walinipigia kura mara ya kwanza na ya pili wakanipigia kura kwa idadi kubwa zaidi. Nashukuru Mwenyezi Mungu kuwa mara ya pili niliporejea katika Bunge hili, Wabunge kwa imani yao wakaamua kunipigia kura niwe Mwenyekiti wa kamati ya Uwekezaji wa Umma kupitia chama cha ODM. Nataka kutoa shukrani kwa party leader wangu Raila Amollo Odinga kwa kuweza kuyaona yale ninayoyafanya. Nilikuwa Mpwani wa kwanza aliyeweza kupatiwa nafasi kugombea na kuchukua kiti cha Mwenyekiti wa kamati ya Uwekezaji wa Umma. Nimeweza kufanya mengi katika Bunge hili. Lakini ... view
  • 9 Jun 2022 in National Assembly: (SGR) na mambo mengi, Pia niko katika historia. Wakati kanisa la Salvation Army lilitupiwa petrol bomb, nilikuwa katika Bunge hili nakutetea makanisa yaweze kupata hifadhi. Vile vile wakati masheikh walikuwa wanapotezwa ni sauti yangu ilikuwa ikisikika katika Bunge hili. Nimekuwa katika mstari wa mbele kuwatetea wafanyikazi maelfu wa Kenya Ports Authority (KPA), Kenya Ferry Services (KFS) na Kenya Airports Authority (KAA). Nilipokuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Uwekezaji wa Umma niliweza kuhifadhia nchi hii mabilioni ya pesa. Ilikuwa ni rahisi kupata fununu na harufu na binadamu kujaribu kuteleza. Lakini, utajiri si fedha ni utu. Tuliweza kuhakikisha kuwa fedha zile zimehifadhiwa. Wakati ... view
  • 9 Jun 2022 in National Assembly: mgeni wako. Nina imani yale niliyoweza kujifunza katika Bunge hili yataweza kunifaa nikiwa Gavana wa jiji la Mombasa. Wasia wangu kwa wanaokuja ni wawe simba kwa kutetea watu wao. Wasiwe simba kwa kuwatetea katika video za Whatsapp bila kuja hapa Bunge kuleta Miswada inayotakikana. Kauli yangu ya mwisho ni kuweza kutoa Aya ya Quran Surah An-Nahl Ayat 53 “Na neema yoyote mliyo nayo inatoka kwa Mwenyezi Mungu”. Shukran sana, Asanteni. view
  • 9 Jun 2022 in National Assembly: Thank you very much, Hon. Temporary Deputy Speaker. First, I would like to congratulate the Committee on Delegated Legislation because they did the right and honourable thing by rejecting the Regulations. They were time- barred. This House is setting a record that you will not just come here and use Parliament as a rubber stamp. The message should go to State corporations and ministries that, they must not break the law. There have been instances in the past where Regulations did not necessarily come to Parliament, but were gazetted, yet they had a financial impact in terms of charging fees ... view
  • 9 Jun 2022 in National Assembly: More importantly, I wish to speak on behalf of the people of Mombasa. We have quite a number of jua kali sheds. In Mvita Constituency, where I come from, we have a very beautiful view
  • 9 Jun 2022 in National Assembly: shed that we built on behalf of the jua kali artisans who work there. The jua kali sector contributes a significant amount of revenue compared to people in white collar jobs. Those who work from 8.00 a.m. to 5.00 p.m., or in shifts, contribute a very small percentage of the revenue compared to those who fend for themselves on a day-to-day basis. With just the stroke of a pen, you render thousands of people jobless. It is evident that there are bad people who are spoiling the whole industry by vandalising transformers and manhole covers, like where I come from ... view
  • 9 Jun 2022 in National Assembly: I want to warn some parastatal heads who think that they can do anything they want, that this will be a huge audit matter. Your neck will be on the line if you decide to pass things unconstitutionally without going through Parliament. On its last day, this House is putting its foot down by saying that it will always be firm. It will not just rubber-stamp matters. The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor. view
  • 9 Jun 2022 in National Assembly: Thank you. Hon. Temporary Deputy Speaker, I would like to move this Report. I hope that we will finalise it today in the morning. This is a very intriguing Report that this Committee wrote. It is my last special audit Report that I am moving in the 12th Parliament. The Lake Turkana Wind Power Project was very beautiful and feasible. It is one of the largest public-private partnership (PPP) projects that this The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor. view
  • 9 Jun 2022 in National Assembly: country has. When it was conceptualised, the company that was meant to construct the project was supposed to construct transmission line together with power stations. Then, instead of doing that, it was decided that they would construct the line separately with the birth of the Kenya Electricity Transmission Company (KETRACO). As usual, all over the world, if a company has already finished its part and you are not ready to collect the renewable energy or power, then you have to pay what is being generated. view
  • 9 Jun 2022 in National Assembly: Hon. Temporary Deputy Speaker, I beg to move the following Motion: THAT, this House adopts the Report of the Public Investments Committee on its consideration of the Special Audit Report on the Lake Turkana Wind Power Project, laid on the Table of the House on Thursday, 2nd June 2022. The Kenya Electricity Transmission Company (KETRACO) did not do a risk assessment to realise what would happen in the event of a delay. In the process of that, they signed addenda which were for the purposes of the transmission line. When they did this, they did not put in mind that ... view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus