GET /api/v0.1/hansard/entries/1021907/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1021907,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1021907/?format=api",
    "text_counter": 180,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Sen. Madzayo",
    "speaker_title": "",
    "speaker": {
        "id": 679,
        "legal_name": "Stewart Mwachiru Shadrack Madzayo",
        "slug": "stewart-mwachiru-shadrack-madzayo"
    },
    "content": "Asante, Bw. Spika. Nakubaliana na uamuzi uliofanya, lakini nilikua nataka kukuomba jambo moja. Ombi langu ni kuwa, Mwenyekiti wa StandingCommittee on Justice, Legal Affairs and Human Rights anafaa kuwa mmoja wa wenyekiti watakaokua katika mkutano na Standing Committee on National Security,Defence and Foreign Relations, wakati Inspector-General of Police atakuja hapa. Ombi la pili ni kuwa, mimi nilikua ndani ya hiyo nyumba--- The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor, Senate."
}