GET /api/v0.1/hansard/entries/1033706/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"id": 1033706,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1033706/?format=api",
"text_counter": 323,
"type": "speech",
"speaker_name": "Sen. Orengo",
"speaker_title": "The Senate Minority Leader",
"speaker": {
"id": 129,
"legal_name": "Aggrey James Orengo",
"slug": "james-orengo"
},
"content": "Najua kuna matatizo katika Chama cha Jubilee ambayo yameleta taabu kwa sababu ya wanafiki. Wakipewa nafasi ya kulinda mali ya wananchi, ‘wanairarua’ vibaya mno. Hata hawawezi kuacha mfupa. Sasa wako kortini kulialia lakini ni lazima waende hapo. The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor, Senate."
}