GET /api/v0.1/hansard/entries/1063352/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1063352,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1063352/?format=api",
    "text_counter": 344,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Sen. Faki",
    "speaker_title": "",
    "speaker": {
        "id": 13211,
        "legal_name": "Mohamed Faki Mwinyihaji",
        "slug": "mohamed-faki-mwinyihaji-2"
    },
    "content": "Iwapo usafiri utacheleweshwa, mashirika ya meli yataweka delay surcharge kwa Bandari ya Mombasa. Hii yote imesabaishwa na Serikali kutohusisha wananchi katika zile miradi wanapanga kufanya. Asante."
}