GET /api/v0.1/hansard/entries/1116323/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1116323,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1116323/?format=api",
    "text_counter": 335,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Mvita, ODM",
    "speaker_title": "Hon. Abdullswamad Nassir",
    "speaker": {
        "id": 2433,
        "legal_name": "Abdulswamad Sheriff Nassir",
        "slug": "abdulswamad-sheriff-nassir"
    },
    "content": "waliomba nafasi kuhusiana na jambo hilo. Lakini, lile la leo ambalo wamesema ni kwamba hao watu 247 Kamati imenijulisha ikifika kati kati ya Novemba watakuwa na jawabu. Tutastahimili kama vile walivyostahimili wale wengine."
}