GET /api/v0.1/hansard/entries/1129901/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"id": 1129901,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1129901/?format=api",
"text_counter": 130,
"type": "speech",
"speaker_name": "Sen. Faki",
"speaker_title": "",
"speaker": {
"id": 13211,
"legal_name": "Mohamed Faki Mwinyihaji",
"slug": "mohamed-faki-mwinyihaji-2"
},
"content": "Bi. Naibu Spika, nampongeza Rais Uhuru Kenyatta na Baraza lake la Mawaziri na wote ambao wamehusika katika kuimarisha uchumi licha ya majanga ambayo tumekuwa nayo nchini. Pia nampongeza Mhe. Rais kwa kuweza kuidhibiti hali ya The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor, Senate."
}