GET /api/v0.1/hansard/entries/1144026/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"id": 1144026,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1144026/?format=api",
"text_counter": 70,
"type": "speech",
"speaker_name": "Sen. Orengo",
"speaker_title": "The Senate Minority Leader",
"speaker": {
"id": 129,
"legal_name": "Aggrey James Orengo",
"slug": "james-orengo"
},
"content": "Hata Sen. Cheruiyot hawezi kusema ya kwamba wewe na yeye mko katika mrengo mmoja lakini hata mmekaa karibu na tukamweka katika kiti cha ufalme pale juu. Ukikaa pale huwezi kutangatanga."
}