GET /api/v0.1/hansard/entries/1163751/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1163751,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1163751/?format=api",
    "text_counter": 264,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Sen. Wario",
    "speaker_title": "",
    "speaker": {
        "id": 13224,
        "legal_name": "Golich Juma Wario",
        "slug": "golich-juma-wario"
    },
    "content": "Bw. Spika wa Muda, wewe na mimi bado ni vijana lakini tuna vijana kule nyumbani. Tukipitisha sheria kama hiyo, siku ile tutakosa nguvu, basi tutalazimishwa kubebwa kwa magari na kupelekwa huko. Itasemekana kuwa wakati ukiwa Spika,"
}