GET /api/v0.1/hansard/entries/1185186/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1185186,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1185186/?format=api",
    "text_counter": 795,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Sen. Faki",
    "speaker_title": "",
    "speaker": {
        "id": 13211,
        "legal_name": "Mohamed Faki Mwinyihaji",
        "slug": "mohamed-faki-mwinyihaji-2"
    },
    "content": "tunaweza kupata mahindi kutoka Tanzania, Malawi, CommonMarket for Eastern and Southern Africa (COMESA) na Uganda. Kwa hivyo, kwa wakati huu, haifai kuleta vyakula kama hivi ambavyo vina utata na hatujui madhara yake."
}