GET /api/v0.1/hansard/entries/1200017/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1200017,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1200017/?format=api",
    "text_counter": 318,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Kisauni, ODM",
    "speaker_title": "Hon. Rashid Bedzimba",
    "speaker": {
        "id": 13383,
        "legal_name": "Ali Menza Mbogo",
        "slug": "ali-menza-mbogo"
    },
    "content": "Suala la maskwota ni tatizo kubwa Pwani, hasa Kisauni. Nina imani Serikali hii ya awamu ya tano itashughulikia suala hili. Moja katika ahadi walizozitoa ni kwamba wataumaliza uskwota na tunasubiri kuona hilo jambo likitekelezwa."
}