GET /api/v0.1/hansard/entries/1208897/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"id": 1208897,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1208897/?format=api",
"text_counter": 97,
"type": "speech",
"speaker_name": "Sen. Faki",
"speaker_title": "",
"speaker": {
"id": 13211,
"legal_name": "Mohamed Faki Mwinyihaji",
"slug": "mohamed-faki-mwinyihaji-2"
},
"content": "Bw. Spika, hiyo ni siasa. Ningependa nikiyazungumza mambo haya, Sen. (Dr.) Khalwale awe hapa kwa kuwa alijipiga kifua sana kwamba anachukua kiti cha Kaunti ya Bungoma. Lakini, nafikiri ‘alilamba lolo’ na tutayaachia hapo kwa sasa."
}