GET /api/v0.1/hansard/entries/1212812/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1212812,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1212812/?format=api",
    "text_counter": 164,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Sen. Kinyua",
    "speaker_title": "",
    "speaker": {
        "id": 13202,
        "legal_name": "John Kinyua Nderitu",
        "slug": "john-kinyua-nderitu-2"
    },
    "content": "Bw. Naibu Spika ulichofanya kizuri ni kutosema chochote. Ulitoa amri ya korti. Seneta wa Kaunti ya Nairobi amesema na kutaja Seneta wa Kaunti ya Nyamira kuwa wao ni watu waliobobea katika mambo ya kufuatilia mahakama. Ni lipi linaolowasumbua kwa sababu kulingana na ujumbe uliotoka katika mahakama umesema kuwa tarehe 28, Machi watu watakusanyika pale na uamuzi dhabiti utatolewa."
}