GET /api/v0.1/hansard/entries/1218838/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"id": 1218838,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1218838/?format=api",
"text_counter": 363,
"type": "speech",
"speaker_name": "Baringo South, UDA",
"speaker_title": "Hon. Charles Kamuren",
"speaker": null,
"content": "Hatuna bunduki vile watu wanasema. Maeneo matatu huko kwetu ambayo ni takriban kilomita sitini na nne mraba kukiwemo Rukus, Mukutani, Arabal na Mochongoi yamechukuliwa na hao wakora. Serikali ilipoanza operesheni, inasemekana - sina uhakika - magaidi walihamia eneo-bunge langu. Ndiposa, ninasema kuwa wanajeshi waje watusaidie ili hao wakora watolewe katika mashamba ya wenyewe. Waheshimiwa wengine wanapojadili hapa wanasema kuwa sijui watu wafanye nini. Je, ambaye hana lolote atafanya nini? Mwenyewe nimekuwa na shida mpaka nimepoteza watu The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor."
}