GET /api/v0.1/hansard/entries/1223062/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1223062,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1223062/?format=api",
    "text_counter": 161,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Mhe. Martha Wangari",
    "speaker_title": "Spika wa Muda",
    "speaker": {
        "id": 13123,
        "legal_name": "Martha Wangari",
        "slug": "martha-wangari"
    },
    "content": " Kabla Hoja yoyote ifike mahali hii imefika, kuwa mjadala katika Ukumbi huu, lazima imepitia mikono ya wanasheria wetu, ikahakikishwa kwamba haijaenda kinyume na Katiba, na ikawasilishwa hapa kwa haki. Kwa hivyo, tutilie hilo maanani. Mheshimwa Owen Baya, tafadhali. The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor."
}