GET /api/v0.1/hansard/entries/1224521/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1224521,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1224521/?format=api",
    "text_counter": 317,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Sen. (Dr.) Murango",
    "speaker_title": "",
    "speaker": {
        "id": 13585,
        "legal_name": "Murango James Kamau",
        "slug": "murango-james-kamau"
    },
    "content": "Bw. Spika, nasimama kwa msingi wa Kanuni za Kudumu 109 ambayo inaongea kuhusu kuhitimisha mjadala. Kwa hiyo, natoa Hoja kwamba mtoaji wa Hoja sasa aitwe kujibu. Naomba Sen. Korir kuunga mkono Hoja yangu."
}