GET /api/v0.1/hansard/entries/1224700/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1224700,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1224700/?format=api",
    "text_counter": 84,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Nyali, UDA",
    "speaker_title": "Mhe. Mohamed Ali",
    "speaker": null,
    "content": "mashoga na wasagaji kule hawatambi na hawatapewa nafasi. Pia nataka nimpongeze Rais wa Jamhuri ya Kenya Daktari William Samoei Ruto kwa kusimama kidete na kumwambia Mwanasheria Mkuu (Attorney General ) aangalie maamuzi yale yaliyofanywa na Mahakama Kuu na kuhakikisha kwamba hayo maneno yamebatilishwa na yaende vile ambavyo Wakenya, Katiba ya Kenya na dini ya Mwenyezi Mungu inataka. Kumbuka wiki iliyopita nilikuwa katika Bunge hili na nikaweza kutoa vitabu vitakatifu. Nilikuja na Bibilia na Quran. Kwa wale ambao hawakuwa, nilitoa hata Aya katika Bibilia na katika Korani. Katika Bibilia tume onywa. Katika Walawi 20:13 Mwenyezi Mungu anasema mwanamume yeyote akilala na mwanamume mwenzake kama alalavyo na mwanamke, basi wote wawili ni lazima wauwawe. Haya sio maneno yangu bali ni Mwenyezi Mungu. Sikilizeni maandiko vizuri: kwani wamefanya jambo lililo chukiza na watawajibika kwa umwagikaji wa damu yao wenyewe. Ukifanya ushoga na usagaji, Mungu anasema muuwawe. Hatutabembeleza nchi, tutafuata Katiba ya Mungu. Koran Anisa Sura ya kumi na sita inasema kuwa: Na wale wanaume wawili wanaofanya uchafu yaani wanaume kwa wanaume miongoni mwenyu, waadhibuni wote. Kwa lugha ya Kimombo,"
}