GET /api/v0.1/hansard/entries/1271959/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1271959,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1271959/?format=api",
    "text_counter": 84,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Sen. Boy",
    "speaker_title": "",
    "speaker": {
        "id": 13200,
        "legal_name": "Issa Juma Boy",
        "slug": "issa-juma-boy"
    },
    "content": "Bw. Spika, kuna miche mingi sana ambayo haijanunuliwa katika Kaunti ya Kwale. Nadhani juzi alipata ombi hilo kutoka Kaunti ya Kwale. Kuna miche mingi ya mikoko ambayo haijanunuliwa. Tunaomba Serikali inunue miche ile na kupelekea wananchi ili wapande."
}