GET /api/v0.1/hansard/entries/1273307/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"id": 1273307,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1273307/?format=api",
"text_counter": 524,
"type": "speech",
"speaker_name": "Ms. Florence Bore",
"speaker_title": "The Cabinet Secretary for Labour and Social Protection",
"speaker": null,
"content": " Asante, Mhe. Spika wa Muda. Asante kwa swali ambalo nimeulizwa na Mhe. Rubani. Ni kweli watu huwa wanaenda safari ndefu na wanatumia ile pesa ambayo wanaenda kuchukua. Kwa hivyo, kama Wizara, tunataka kufanya mazungumzo na shirika la Safaricom, ili watu The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor."
}