GET /api/v0.1/hansard/entries/1367963/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1367963,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1367963/?format=api",
    "text_counter": 143,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Sen. Faki",
    "speaker_title": "",
    "speaker": {
        "id": 13211,
        "legal_name": "Mohamed Faki Mwinyihaji",
        "slug": "mohamed-faki-mwinyihaji-2"
    },
    "content": "Katika hizi dhamana ambazo Serikali inalipa kwa niaba ya mashirika haya, hatuoni wale waekezaji wa kibinafsi ambao wana hisa katika mashirika haya kutoa mchango wao katika malipo hayo ambayo Serikali inapeana."
}