GET /api/v0.1/hansard/entries/1378922/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1378922,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1378922/?format=api",
    "text_counter": 28,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Sen. (Dr.) Murango",
    "speaker_title": "",
    "speaker": {
        "id": 13585,
        "legal_name": "Murango James Kamau",
        "slug": "murango-james-kamau"
    },
    "content": "Asante, Bw. Spika. Niko na maswali mawili ya ziada. Kwanza, Waziri anafahamu kuwa Taasisi ya Tana Water Works ambayo inafaa kupeana huduma za maji Nyeri, Kirinyaga, Tharaka-Nithi, Embu na Meru hadi Marsabit, haijapata pesa ambazo inafaa kuwa imepata, katika robo ya tatu ya mwaka wa bajeti wa mwaka The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Director, Hansard Services,Senate."
}