GET /api/v0.1/hansard/entries/1382007/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1382007,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1382007/?format=api",
    "text_counter": 177,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Sen. Wafula",
    "speaker_title": "",
    "speaker": {
        "id": 348,
        "legal_name": "Davis Wafula Nakitare",
        "slug": "davis-nakitare"
    },
    "content": "Nitadai haki kwa niaba ya watu wa Bungoma na Wakenya, ili Serikali niliyoipigania na ninayoipigania ipate sifa na ishukuriwe kwa jasho na kwa kazi wanayofanya. Bw. Spika, Mawaziri hawa lazima wakuje. Asante, Bw. Spika."
}