GET /api/v0.1/hansard/entries/1398889/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1398889,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1398889/?format=api",
    "text_counter": 244,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Hon. Davis Chirchir",
    "speaker_title": "The Cabinet Secretary for Energy and Petroleum",
    "speaker": null,
    "content": " Asante Sen. Faki. Mombasa Kaunti inatoa umeme wake kutoka kwa thermal. That is where we have most of the thermal power plants. The other generated power inayotumika sana Mombasa ni ile inayotoka Malindi kwa Solar Power Plant. We have a solar power plant ambayo inamilikiwa na kampuni inayoitwa Globeleq which is an IPP. It feeds 52 Megawatts peak (MWp) to the grid. Pia moto mingi inayotumika Kaunti ya Mombasa inatoka Olkaria Geothermal Plant. Kuna cascade line ya awali ya Kamburu inayoenda Mombasa but majorly geothermal inatoka Olkaria. Tumeshajenga laini ile na inabebea 400kV lakini currently"
}