GET /api/v0.1/hansard/entries/1401871/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"id": 1401871,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1401871/?format=api",
"text_counter": 644,
"type": "speech",
"speaker_name": "Mombasa County, ODM",
"speaker_title": "Hon. Zamzam Mohammed",
"speaker": null,
"content": ". Ndio maana mimi, kama Mama Mombasa, nasema tusiwachie mamlaka yote Wizara ya Ardhi kwa sababu imetufeli miaka mingi sana. Tuwache mwanya wa kutatua mizozo ambayo iko, na kusikiliza walalahoi ambao wanalia kule chini, maanake mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Kwa hivyo, mimi nalia pamoja na baba yangu, Hassan Sumba, nikisema watu wa Majengo, Mwembe Kuku na Bondeni wapewe haki zao. Ahsante sana Mhe. Spika."
}