GET /api/v0.1/hansard/entries/1402418/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1402418,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1402418/?format=api",
    "text_counter": 175,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Matuga, ANC",
    "speaker_title": "Hon. Kassim Tandaza",
    "speaker": null,
    "content": "baada ya kupitishwa kwa Katiba 2010. Licha ya kuwa Katiba ilileta mambo mengi mazuri, pia ilileta changamoto. Ilisisitiza sana kwamba kaunti zetu zitengeneze fedha za ndani kwa ndani licha ya ule mgao ambao unatoka kwa Serikali kuu. Hii ilifanya kaunti nyingi kufikiria njia za kuokota pesa kutoka kwa wananchi. Moja ya njia hizo ni kutoa leseni kwa utafutaji wa rasilimali ambazo zinatoka sehemu mbalimbali."
}